Psalms 128:2-4


2 aUtakula matunda ya kazi yako;
baraka na mafanikio vitakuwa vyako.

3 bMke wako atakuwa kama mzabibu uzaao
ndani ya nyumba yako;
wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni
kuizunguka meza yako.

4 cHivyo ndivyo atakavyobarikiwa
mtu amchaye Bwana.

Copyright information for SwhKC